Isaiah 48:1

Israeli Mkaidi

1 a“Sikilizeni hili, ee nyumba ya Yakobo,
ninyi mnaoitwa kwa jina la Israeli,
na mnaotoka katika ukoo wa Yuda,
ninyi mnaoapa kwa jina la Bwana,
mnaomwomba Mungu wa Israeli,
lakini si katika kweli au kwa haki;
Copyright information for SwhNEN